• +255753531628
  • preciousschools14@gmail.com
  • Goba, Dar Es Salaam
  • News

    Ratiba ya Matukio Muhimu Kuelekea Mwisho wa Mwaka wa Shule

    Ratiba ya Matukio Muhimu Kuelekea Mwisho wa Mwaka wa Shule

    Tunapokaribia kufunga mwaka wa masomo, tungependa kuwajulisha wazazi, wanafunzi, na wadau wote kuhusu matukio muhimu yatakayofanyika katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba. Haya ni matukio ya umuhimu wa kipekee kwa maendeleo ya wanafunzi wetu na mipango ya shule kwa mwaka ujao.

    Tafadhali zingatia ratiba ifuatayo:

    TukioTarehe
    Mtihani wa Taifa Darasa la Nne23 – 24 Oktoba 2024
    Mtihani wa Taifa Kidato cha Pili28 Oktoba – 5 Novemba 2024
    Mtihani wa Kufunga Muhula wa Pili20 – 27 Novemba 2024
    Safari ya Beach na Wanafunzi Wote29 Novemba 2024
    Usaili wa Wanafunzi Mwaka 202530 Novemba 2024
    Siku ya Wazazi7 Desemba 2024

    Tunawaomba wazazi kuhakikisha kuwa wanafunzi wamejiandaa kikamilifu kwa kila tukio, na wanashiriki kwa wakati. Matukio haya ni sehemu muhimu ya kujenga msingi wa masomo na malezi ya wanafunzi wetu.

    Asanteni kwa ushirikiano wenu.


    Uongozi wa Shule

    Leave a comment