• +255753531628
  • preciousschools14@gmail.com
  • Goba, Dar Es Salaam
  • News

    USAILI WA KUJIUNGA NA PRECIOUS SCHOOLS MWAKA WA MASOMO 2025

    USAILI WA KUJIUNGA NA SHULE

    Tunawatangazia wazazi na walezi wote kuwa kutakuwa na usaili kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na shule za Precious kwa mwaka wa MASOMO 2025 kuanzia Darasa la AwaliDarasa la Kwanza hadi Darasa la Saba, na pia Kidato cha Kwanza hadi Kidato cha Nne.

    Usaili utafanyika tarehe 16 November 2024 shuleni Precious.

    Wazazi na walezi wote wanakaribishwa kwani nafasi ni chache

    Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kupitia nambari ya simu 0786121813 au fika shuleni

    Karibuni sana!

    Leave a comment