• +255753531628
  • preciousschools14@gmail.com
  • Goba, Dar Es Salaam
  • All posts by admin

    TAARIFA KWA UMMA

    Uongozi wa PRECIOUS SCHOOLS unapenda kuwafahamisha wazazi, walezi na wanajumuiya ya PRECIOUS kuwa shule imefungwa kuanzia tarehe 08/04/2022 na itafunguliwa tarehe 19/04/2022. Tunawatakia likizo njema na heri ya pasaka.